Kaimu Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Kagera Maketi Msangi ameeleza kwa kina tukio lilivyokuwa.
Mtoto wa miaka mitano abakwa, RPC asimulia (+video)
Leave a comment
Leave a comment
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linandelea kumsaka mtu mmoja aitwaye Mushobozi Mpabanza kwa tuhuma ya kumbaka mtoto mdogo wa miaka mitano kisha kutoroka,inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo ni baba mdogo wa mama mzazi wa mtoto aliyebakwa.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Kagera Maketi Msangi ameeleza kwa kina tukio lilivyokuwa.