Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limesema limeona taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha Mtahiniwa Iptisum Suleiman Slim wa Shule ya Msingi Chalinze Modern Islamic ‘Pre and Primary School’ akisema kwamba alibadilishiwa namba yake ya mtihani wakati anafanya Mitihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) uliofanyika tarehe 5 na 6 Oktoba, 2022.
Mwanafunzi wa darasa la Saba aliyebadilishiwa namba ya mtihani aongea kwa Masikitiko, Necta wamjibu
Leave a comment
Leave a comment