Mzee anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 70 mkazi wa Mlole kwa jina Jumanne Rashid, amefariki dunia baada ya mawe kuporomoka na kumuangukia wakati akiwa anachimba madini ujenzi katika eneo la wachimbaji wadogo wa madini hayo yaliyopo eneo la Masanga Manispaa ya Kigoma Ujiji.
Mzee aporomokewa na kifusi kizito akiwa anachimba mawe, afariki simanzi yatanda (+video)
Leave a comment
Leave a comment