Leo August 24, 2020 Nakurudisha nyuma mpaka mwaka 2012 wakati wa vita nchini Syria ambapo nakusogezea picha ya Mtoto wa miaka 3 akilia baada ya kuathiriwa na mlipuko wa mabomu, kabla hajafariki alisema “i’m gonna tell God everything” akimaanisha “Naenda kumwambia MUNGU kila kitu”.
“Naenda kumwambia MUNGU kila kitu” mtoto mdogo kabla hajafariki kwa mabomu (+video)
Leave a comment
Leave a comment