Naibu Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo Juliana Shonza,wasanii,wananchi pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali wameshiriki kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa Muziki wa Injili Tanzania Dr Donald mkoani Arusha, aliyefariki kwenye ajali ya gari jijini Dodoma
Naibu Waziri Shonza alivyoongoza kuuaga mwili wa Dr Kisanga
Leave a comment
Leave a comment