Club ya Namungo FC ya Lindi leo imeingia Mkataba wa mwaka mmoja wa udhamini na SportPesa wenye thamani ya Tsh Bilioni 1 (1,055,000,000).
Mkataba huo umesainiwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa SportPesa Abbas Tarimba na CEO wa Namungo FC Omary Kaya mbele ya Waandishi wa habari.