Leo March 16, 2018 Kiongozi wa Kanisa la Bethel Ministry ‘Prophet’ Daniel Shillah amezungumza na AyoTV na millardayo.com kuhusu kufutiwa usajili kwa kanisa lake ambalo lilikuwa limesajiliwa chini ya Mwamvuli wa Kanisa lingine la Great Revival Mission Christian Church.
Shillah amezungumzia pia wito alioupata unaomtaka kwenda Dodoma kuonana na Msajili wa Jumuiya.
Mwalimu wa Mtoto Jasiri aliemshtaki Baba yake Polisi kwa kuuza shamba, kaongea
Hali ya Mapacha Maria na Consolata, Mwenyekiti CCM Iringa aeleza
https://youtu.be/RqJLPNKkLqI