Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemuagiza Mkurugenzi wa Usambazaji Maji RUWASA, Mkama Bwire kumuondoa haraka Meneja wa Wakala wa Usambazaji Maji Pangani Mhandisi Ladislaus Modestus kutokana na kushindwa kutimiza majukumu yake.
Naibu Aweso alivyomtumbua Injinia mbele ya Mkuu wa Wilaya (+video)
Leave a comment
Leave a comment