Waziri mwenye dhamana ya uchukuzi, Mhandisi Isack Kamwelwe amesema wakati wakishughulikia fidia juu ya kesi hiyo ambayo wanasheria wa Tanzania wameshinda, abiria waliokuwa katika route hiyo wataendelea kusafirishwa na ndege zingine hadi hali itakapokuwa shwari.
Safari za ndege za Air Tanzania kwenda Afrika Kusini zasitishwa (+video)
Leave a comment
Leave a comment