Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mnigeria huyu alikataa ofa ya kufanya kazi na bilionea Bill Gates, Sababu…
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > Mnigeria huyu alikataa ofa ya kufanya kazi na bilionea Bill Gates, Sababu…
Duniani

Mnigeria huyu alikataa ofa ya kufanya kazi na bilionea Bill Gates, Sababu…

December 7, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Katika stori zilizotrend kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na hii ya  kijana kutoka Nigeria, Chris Kwekowe ambaye ameripotiwa kuitolea nje ofa ya kufanya kazi kwenye kampuni ya Microsoft ya bilionea  Bill Gates na kusema kwamba watu wengi nchini kwake (Nigeria) hawana ajira hivyo hatoweza kukubali kufanya kazi hiyo badala yake ataendeleza biashara ya tovuti yake ya Slatecube ambayo aliianzisha kwa lengo la kuwasaidia  vijana kutafuta ajira kupitia mitandao.

Chris Kwekowe (23) amehitimu masomo ya Computer Science katika chuo kikuu cha Lagos State na alipata nafasi ya kukutana na Bill Gates baada ya kushinda tuzo ya mjasiriamali bora ya “Anzisha” na kupata zawadi ya Dola elfu 25,000 za Marekani.

Video: Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae>>>

Video: Changamoto anazokutana nazo Diana kwenye kambi ya Miss World Marekani>>>

You Might Also Like

Mkali Wizkid katuletea hii video mpya ‘True love’ akiwa na Tay Iwar

Wakali wa Amapiano Dj Maphorisa na Kabza wameiletea hii video mpya “Hello”

Mtandao wa Twitter kurudi nchini Nigeria, Rais anena

Burna Boy ajizawadia gari lenye thamani ya Shilingi Bilioni 1.3 za kitanzania

Mayorkun kuachia album mpya “Back in Office” 29 Oct

TAGGED: asteria, Nigeria
Admin December 7, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHA 14: Tetemeko la ardhi lililotokea Indonesia na kusababisha vifo
Next Article VideoMPYA: Christina Shusho katuletea hii video mpya ‘akutendee nini’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?