Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo July 30, 2021 amepokea ndege mpya aina ya Bombadier Dash 8 – Q400 katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 1 Jijini Dar es Salaam.
Millardayo.com imekusogezea picha 13 ushuhudie tukio hilo lilivyokuwa Airport DSM pamoja na muonekano wa ndege hiyo mpya



\.









TAZAMA RAIS SAMIA ALIVYOIPOKEA NDEGE MPYA AIRPORT DSM