ASAS ni Kampuni kongwe na kubwa Nchini Tanzania iliyoanzishwa miaka 87 iliyopita (1936) ikijihusisha na usafirishaji na kuitwa A.S ABRI Transporters lakini miaka 45 iliyopita (1978) ikabadili jina na kuitwa ASAS Group of Companies ikijumuisha Makampuni mbalimbali ndani yake ikiwemo Kampuni ya bidhaa za maziwa ya @asas_dairies
Picha: Katibu Mkuu Kiongozi atembelea banda la kampuni ya Asas Dairies, ‘Maonesho ya Nanenane Mkoani Mbeya’
Leave a comment
Leave a comment