Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chawino mkoani Dodoma leo tarehe 18 Agosti, 2023.
Picha: Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino, Dodoma
Leave a comment
Leave a comment