Ni April 22, 2023 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshiriki sala ya Eid Al-Fitri katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI wa Morocco) uliopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Picha: Rais Samia ashiriki Sala ya Eid Al-Fitr Msikiti Mkuu BASATA DSM
Leave a comment
Leave a comment