Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha: Shuhudia Daraja la muda mto Pangani, ‘Daraja Pangani lakamilika 100%’
Share
Notification Show More
Latest News
Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
September 27, 2023
Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya
September 27, 2023
Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
September 27, 2023
Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Picha: Shuhudia Daraja la muda mto Pangani, ‘Daraja Pangani lakamilika 100%’
Top Stories

Picha: Shuhudia Daraja la muda mto Pangani, ‘Daraja Pangani lakamilika 100%’

August 30, 2023
Share
2 Min Read
.
SHARE

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Waziri Mteule wa Uchukuzi), Prof Makame Mbarawa amekagua ujenzi wa barabara ya Tanga-Pangani-Saadani-Mkange pamoja na ujenzi wa daraja la Mto Pangani ambapo amesema daraja la muda limekamilika 100%.

Kukamilika kwa daraja hilo la muda kunatoa nafasi nzuri za kuendelea kwa ujenzi wa daraja la kihistoria la Mto Pangani lenye urefu wa Mita 525, litakalounganisha barabara ya Tanga – Pangani hadi Bagamoyo Mkoani Pwani kupitia Saadani (Tanga – Pangani – Saadan – Bagamoyo), barabara zinazojengwa pamoja na daraja hilo vinatarajiwa kupunguza muda wa kusafiri kwenda Jijini Tanga ambapo daraja hilo hadi kukamilika litagharimu Tsh. bilioni 82.19.

Katika ziara yake ameelekeza daraja lijengwe kwa ubora na viwango na ikiwezekana likamilike kabla ya muda wa mkataba December 2025 huku akiwahakikishia Viongozi kuwa awamu ya pili na ya tatu ya mradi zitakwenda vizuri na hakuna changamoto ya fedha, hivyo hakuna sababu mradi ukwame.

Aidha, ameahidi kwa awamu ya kwanza ya mradi kutoka Tanga-Pangani (50kms) watamlipa Mkandarasi ili barabara ikamilike kwa kiwango cha lami, ziara ya Mbarawa ilihudhuriwa pia na Wenyeji wake DC wa Pangani, Zainab Abdallah na Waziri wa Maji ambaye ni Mbunge wa Pangani, Jumaa Aweso.

 

.
.
.
.
.
.
.
.

You Might Also Like

Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike

Edwin TZA August 30, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Live: Rais Samia akishiriki Usiku wa Samia na Kizimkazi visiwani Zanzibar
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 31, 2023
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
Sports September 27, 2023
Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya
Top Stories September 27, 2023
Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
Top Stories September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Sports

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi

September 27, 2023
Top Stories

Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya

September 27, 2023
Top Stories

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

September 27, 2023
Top Stories

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?