Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewasili Jijini Younde, Nchini Cameroon leo tarehe 17 Julai, 2023 ambapo anatarajia kushiriki Mkutano wa 18 wa Maspika na Viongozi wa Bunge wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CSPOC) utakaoanza tarehe 18-20 Julai, 2023.
Picha: Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson amewasili nchini Cameroon
Leave a comment
Leave a comment