Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Walichoandika Watu maarufu Tanzania baada ya Makonda kutoa orodha
Share
Notification Show More
Latest News
Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Walichoandika Watu maarufu Tanzania baada ya Makonda kutoa orodha
Mix

Walichoandika Watu maarufu Tanzania baada ya Makonda kutoa orodha

February 3, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

February 2 2017 mkuu wa mkoa Dar es salaam alitangaza orodha ya wanaotuhumiwa kuuza dawa za kulevya kwenye jiji la Dar pamoja na watu maarufu wanaotuhumiwa kutumia dawa za kulevya ambapo wakati hilo likiendelea mastaa mbalimbali wa Tanzania waliliendeleza gumzo kwenye mitandao ya kijamii.

  1. Ommy Dimpoz alipost picha ya Harmorapa na kuandika “PALE UNAPOSUBIRIA JINA LAKO LITAJWE NA MAKONDA LIkE…..”

2 Mtangazaji wa CloudsFM Soudy Brown alitweet “NIPO KWENYE MAOMBI MAZITO, ILI CKU MAKONDA AKIJAKUTAJA LIST YA WAMBEA BASI JINA LISAHAULIKE, SHILAWADU MNISAIDIE”

3 Msanii wa bongofleva Madee alitweet “MLIOTAJWA  NA RC MFIKE MAPEMA PALE POST STESHENI BILA KUKOSA HUWEZI JUA LABDA KUNA SHOW MNAPEWA MSIWE WAOGA!!!!”

4 Mchekeshaji Joti aliweka kipande cha Video kikimuonyesha Jamaa aliyechoka akitoka jasho Huku anajipepea na kuandika “UNAPOSIKIA LIST IMETOKA NA HAUPO”

5 Comedian Indris Sultan kapost picha iliyo editiwa akiwa na Beyonce “BORA NITAFUTWE NA JAYZ LAKINI SIO PAUL MAKONDA”

6 Dj choka naye aka Tweet hii “BADO NAWAZA MAKONDA ANGETAJA WAVUTA BANGI MUDA HUU CENTRAL POLICE INGEKUWAJE”

FULL VIDEO: Tazama hapa chini Paul Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya

https://www.youtube.com/watch?v=buyVUZyYaHk

You Might Also Like

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam

Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu

Kampuni ya PAET imewekeza Dola Milioni 70 uendelezaji gesi

TAGGED: bongoflevanews, Social media NEWS
Victor Kileo TZA February 3, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article AyoTV MAGAZETI: Mbowe na Dkt. Tulia ‘bifu’ jipya, Magufuli aacha vumbi
Next Article VideoFUPI: TID akiingia kituo cha Police Central Dsm kutii wito wa Makonda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
Entertainment August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
Top Stories August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
Magazeti August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022

You Might also Like

Sports

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

August 10, 2022
Sports

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

August 7, 2022
Sports

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

August 7, 2022
Sports

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

August 7, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?