Rais Mstaafu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya nne Jakaya Kikwete ambaye pia Ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam amewasili Mkoani Kagera kwa lengo la kukagua eneo litakapojengwa tawi la Chuo Kikuu hicho na hapa anaelezea hatua walipofika sambamba na tarehe ya kuanza rasmi ujenzi.
Rais Mstaafu Kikwete awasili Kagera, afunguka haya juu ya Ujenzi Chuo Kikuu tawi la UDSM Bukoba
Leave a comment
Leave a comment