Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani Kikwete ajibu kuhusu kuchunguzwa kwake sakata la dawa za kulevya
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Ridhiwani Kikwete ajibu kuhusu kuchunguzwa kwake sakata la dawa za kulevya
Mix

Ridhiwani Kikwete ajibu kuhusu kuchunguzwa kwake sakata la dawa za kulevya

February 21, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Sakata la dawa za kulevya bado limeendelea kushika kasi Tanzania Serikali ikiendelea kuwachunguza baadhi ya Watuhumiwa wa matumizi na Wafanyabiashara.

Moja ya habari kubwa kupitia Magazeti na vyombo vya habari leo ni taarifa za kuhusishwa kwa Mbunge wa Chalinze Ridhiwan Kikwete, tuhuma hizo zimemfikia hata yeye mwenyewe na akaamua kuchukua time yake kuzijibu kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Ridhiwan ameandika>>>’Ni jambo jema na la faraja kubwa kwangu kama uchunguzi unafanywa, ni ukombozi kwangu, ukweli utajulikana kuwa ni uvumi tu usiokuwa na chembe ya ukweli”

“Ni maneno ya watu wasionitakia mema, sina la kuficha… sifanyi biashara hiyo haramu na wala sijawahi kufikiria kufanya…… ni bora kufa maskini kuliko kutafuta utajiri kwa njia hiyo.’

VIDEO: “Unapotangaza mtu aje Polisi saa 5, wewe ni nani? – FREEMAN MBOWE… bonyeza play kwenye hii video hapa chini kumtazama Mbowe akizungumza yote baada ya kutajwa na Mkuu wa mkoa Paul Makonda

You Might Also Like

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

TAGGED: Breaking news, Social media NEWS, TZA HABARI
Admin February 21, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Kuelekea Simba vs Yanga jikumbushe goli la Tambwe lililoleta utata
Next Article Ukimuuliza Jose Mourinho kama Wayne Rooney anaondoka Man United
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?