Baada ya juzi usiku Barcelona kuifunga Rayo Valacano mabao 6-0 na kuendelea kukaa kwenye kilele cha ligi kuu ya Spain, jana usiku Real Madrid wanaoshika nafasi ya pili waliifumua Getafe mabao 3-0. Real Madrid walicheza mchezo wao wa pili wa ligi bila mshambuliaji wao tegemeo Cristiano Ronaldo aliyefungiwa mechi 3.
Kama ulipitwa na mechi, haya hapa marudio ya mabao ya mchezo wa Real Madrid vs Getafe
Leave a comment
Leave a comment