Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Safari za SGR DAR-Moro rasmi Septemba
Share
Notification Show More
Latest News
Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
August 8, 2022
International Marathon yaacha historia Zanzibar
August 7, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Safari za SGR DAR-Moro rasmi Septemba
Top Stories

Safari za SGR DAR-Moro rasmi Septemba

June 27, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete amesema safari za reli ya kisasa ya Standard Gauge (SGR) ya kilometa 300 kati ya Dar es Salaam na Morogoro zitaanza rasmi mwezi septemba mwaka huu.

Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Dk Christine Ishengoma aliyetaka kujua ni lini safari zitaanza, Naibu Waziri amelieleza Bunge kuwa kwa sasa kinachoendelea ni majaribio ya mifumo ya umeme na vituo hata hivyo mabehewa na vichwa vya treni vinatarajiwa kuwasili nchini mwezi Agosti.

Mwakibete amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan akitaja kuwa ametoa kiasi cha Sh trilioni 6.5 kwa wakandarasi wote wanaojenga reli hiyo na kutoa kandarasi zenye thamani ya Sh trilioni 15.

“Reli ya Dar es Salaam hadi Morogoro (Km 300) itaanza rasmi mwezi wa tisa na kwamba mwezi wa nane yataingia mabehewa na vichwa. Kinachofanyika sasa hivi ni majaribio ya umeme, vituo na signals,” amesema Naibu Waziri.

You Might Also Like

Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko

International Marathon yaacha historia Zanzibar

Nane Nane Morogoro, Shaka apongeza jitihada za Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Mfahamu Panya Kennedy anayebeba Camera kama Binadamu ‘Anarekodi Matukio vitani’ (video+)

Video: Kinyozi ahukumiwa Jela miaka 30, kosa kumpa mimba Mwanafunzi

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA June 27, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mwana FA aonya migogoro mipya ishu ya mirabaha
Next Article Mwigulu apendekeza msamaha kodi ya mafuta, betting makato
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
Mix August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
Top Stories August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
Mix August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
Magazeti August 8, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 7, 2022

August 7, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 6, 2022

August 6, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 5, 2022

August 5, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 4, 2022

August 4, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?