Siku chache kabla ya kuelekea Bukoba kumzika Ruge Mutahaba, marehemu Ephraim Kibonde alipeleka gari zake Texxas Baywash zikabadilishwe rangi lakini hakutaka kutoa advance alilipa cash huku akimwambia fundi (Evans) sijui kesho yangu ngoja nikulipe yote.
Kibonde aliacha magari mawili kwa fundi akamwambia “nakulipa kabisa nisife na deni” (+video)
Leave a comment
Leave a comment