Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Uwekezaji Znz, Sharif Ali Sharif amekanusha kilichoandikwa mitandaoni kuwa ana uraia wa Nchi mbili baada ya kusambazwa picha za hati ya kusafiria (passport) ya Pacha wake Mohamed Ali Sharif ambaye ni Raia wa Czech Republic.
Utata: Shtuma nzito zamkuta Mkurugenzi Serikalini, aitwa Jasusi pacha awa Chanzo
Leave a comment
Leave a comment