Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kutana na Mzee wa miaka 74 aliejiunga FORM ONE na Wanawe wawili
Share
Notification Show More
Latest News
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Kutana na Mzee wa miaka 74 aliejiunga FORM ONE na Wanawe wawili
Mix

Kutana na Mzee wa miaka 74 aliejiunga FORM ONE na Wanawe wawili

February 3, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Na hii inaingia kwenye rekodi za Watu wenye umri mkubwa zaidi kurudi shule na kusoma darasa moja lenye Wanafunzi ambao ni sawa na Wajukuu na watoto wake.

Mzee mwenyewe kwenye hii habari anaitwa Kazungu Humadi Kadenge na umri wake ni miaka 74 na anatokea kijiji cha Kimbule Ganze Kilifi Kenya ambapo aliamua kurudi Shule ili kuepuka kuitwa mchawi sababu hajui kusoma wala kuandika.

Iliripotiwa kwamba Kadenge alijiunga rasmi na kidato cha kwanza katika shule ya Ganze Boys Secondary School na kwa juhudi zake alipata alama 134 mwaka jana katika cheti cha elimu ya msingi (KCPE) katika shule ya msingi Ganze, Kenya ambapo kwenye shule hiyo anasoma pamoja na watoto wake wawili wa kiume.

Mtu mwingne anayeshikilia rekodi ya kusoma uzeeni Kenya ni marehemu Kimani Maruge ambaye aliingizwa kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guinness kwa kuwa mtu mkongwe kuanza shule ya msingi, alijiunga na darasa la kwanza Januari 12, 2004 akiwa na umri wa miaka 84.

VIDEO: Mwalimu aliyechapwa fimbo na Wazazi wa Mwanafunzi Geita aongea, bonyeza play kwenye hii video hapa chini

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Victor Kileo TZA February 3, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Paul Makonda makao makuu Polisi leo, kaongea kinachoendelea
Next Article VIDEO: Dakika 10 za maswali na majibu bungeni leo February 3 2017
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?