Leo June 8, 2020 Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohammed amezungumzia hali ya ugonjwa wa Virusi vya Corona Visiwani Zanzibar ambapo amekiri kuwa watu wenye umri wa miaka 70 na kuendelea ndio wapo kwenye hatari zaidi ya kuhimili ugonjwa huo.
Taarifa mpya hali ya Corona Zanzibar “Corona ipo mambo bado hayajakamilika” (+video)
Leave a comment
Leave a comment