Serikali imesema majibu ya sampuli za Dereva aliembeba mgonjwa wa kwanza wa corona Tanzania(Isabela),na Watu wengine 27 waliokuwa karibu na mgonjwa zinaonesha wote ni wazima na hawana virusi vya corona “kuhusu Isabela afya yake iko sawa, anaendelea vizuri”.
Taarifa mpya kumhusu Dereva aliembeba Isabela mgonjwa wa Corona, hajaambukizwa (+video)
Leave a comment
Leave a comment