Tag: Breaking news

BREAKING: Wabunge watatu wa CCM wafikishwa Mahakamani Dar es salaam

Wabunge watatu wamefikishwa Mahakamani Kisutu Dar es salaam mchana wa March 31…

Millard Ayo

BREAKING: Huwa tunaona tu kwenye filamu ila leo imetokea…. jamaa kateka ndege ya Misri ili mtu aachiwe gerezani

Ndege ya Egypt Air imelazimika kutua kwa dharura kwenye uwanja wa ndege…

Millard Ayo

BREAKING: March 23 usiku kuna Ndege imekamatwa ikisafirisha nyani, Maamuzi yametangazwa leo

Habari niliyoipokea muda mfupi uliopita zinamhusu Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof…

Millard Ayo

BREAKING:Watu 4 wamefariki na wengine 6 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha msafara wa kamati ya Tamisemi

Breaking News niliyopokea muda mfupi uliopita inahusu ajali iliyotokea Pwani ambapo watu…

Millard Ayo

Simba aliyeingia mtaani na kujeruhi Mtu akamatwa Kenya

Asubuhi ya leo March 18 2016 iliripotiwa taarifa ya Simba mmoja aliyetoroka kutoka…

Millard Ayo

Watu wasiojulikana wamerusha bomu nyumbani kwa Mkuu wa Polisi Zanzibar…

March 15 2016 kituo cha ITV kimeripoti taarifa kutoka visiwani Zanzibar ambapo…

Millard Ayo

BREAKING: Rais Magufuli kateua Wakuu wapya wa mikoa… yumo na Paul Makonda, orodha kamili ninayo hapa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya…

Millard Ayo

UPDATE: Maalim Seif alipatwa kizunguzungu kikali uwanja wa ndege Zanzibar, ya leo ni hii

Baada ya katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif  kurejea kutoka India…

Millard Ayo

VIDEO: Mtazame Rais Magufuli akimtangaza katibu mkuu kiongozi mpya

March 6 2016 Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John…

Millard Ayo

BREAKING: Rais Magufuli ameteua katibu mkuu mpya kuchukua nafasi ya Ombeni Sefue

Kutoka Ikulu Dar es salaam leo March 6 2016, ni uteuzi mpya uliofanywa…

Millard Ayo