Naibu waziri wa Uchukuzi na Mawasilaiano mhandisi Atashasta Nditiye amepanda treni ya mafundi kwa ajili yakukagua njia za reli ambapo amesema ndani ya wiki moja na nusu treni hiyo itaanza kufanya kazi baada yakusimama kwa zaidi ya miaka thelathini
Tazama treni iliyoingia tena Arusha, “ndani ya wiki moja na nusu itaanza”
Leave a comment
Leave a comment