Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA, wameendelea kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu Huduma zinazotolewa na TPA Katika Maonesho ya sita ya kimataifa ya Teknolojia ya Madini 2023, yanayoendelea katika Viwanja vya EPZ Bombambili Mkoani Geita.
TPA watoa Elimu kuhusu huduma zao
Leave a comment
Leave a comment