Moja ya ahadi ya Rais Magufuli wakati wa kipindi chake cha miaka mitano iliyopita ni kujenga meli mpya kubwa na ya kisasa ndani ya ziwa Victoria, hapa tumeoneshwa hatua ya kwanza muhimu katika ujenzi wa meli mpya ya MV. Mwanza Hapa Kazi Tu.
Tumeoneshwa ujenzi wa meli mpya ya MV. Mwanza ikipandishwa kwenye chelezo (+video)
Leave a comment
Leave a comment