Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: MAHAKAMANI: Mwanajeshi ahukumiwa Miaka 20 Jela Kisutu
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
September 29, 2023
Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu
September 29, 2023
Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA
September 29, 2023
Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad
September 29, 2023
Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea
September 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > MAHAKAMANI: Mwanajeshi ahukumiwa Miaka 20 Jela Kisutu
Top Stories

MAHAKAMANI: Mwanajeshi ahukumiwa Miaka 20 Jela Kisutu

March 2, 2018
Share
2 Min Read
SHARE

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo March 2, 2018 imewahukumu miaka 20 jela watu watatu akiwemo Mwanajeshi wa (JWTZ) EX MT.66807 SGT George Kwisema Senda baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kukutwa na vipande 10 vya meno ye Tembo vyenye thamani ya Shilingi Milioni 198.

Mbali na Mwanajeshi huyo, wengine waliohukumiwa ni Asha Ulaya na Nia Bakari ambapo pia mahakama hiyo imemuachia huru Shafii Muhibu.

Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi Mahira Kasonde baada ya wakili wa serikali Elia Athanas kuomba washtakiwa wapewe adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine.

Hakimu Kasonde amesema mahakama hiyo imewatia hatiani washtakiwa watatu kati ya wanne kwa makosa ya kukutwa na nyara za serikali ambayo ni Meno ya Tembo baada ya kuridhishwa na ushahidi wa upande wa mashtaka.

Katika kesi hiyo ya Uhujumu Uchumi namba 22 ya mwaka 2016 Hakimu Kasonde amesema anawahukumu washtakiwa kwenda jela miaka 20 kwa kila kosa ambapo adhabu hiyo itaenda sambamba.

“Ninawahukumu kwenda jela miaka 20 kwa kila kosa na adhabu hiyo itaenda sambamba, pia namuachia huru mshtakiwa wa nne ambaye ni Shafii Muhibu kwa sababu hajatiwa hatiani,” -Hakimu

Washtakiwa walikabiliwa na kesi ya kukutwa na nyara za Serikali, ambapo inadaiwa June 2,2016 maeneo ya Mbagala Kibondemaji ambapo walikutwa na vipande 10 vya meno ya Tembo vyenye thamani ya Sh.Mil 198,000,000.

Pia walikabiliwa na kosa la kujihusisha na biashara ya meno ya Tembo ambapo inadaiwa walitenda kosa hilo May 24,2016 na June 2,2016.

Inadaiwa katika maeneo ya Lindi na Dar es Salaam walikubaliana kusafirisha nyara hizo ambazo ni vpande 10 vya meno ya Tembo vikiwa na thamani ya Tsh.198,000,000.

BREAKING: Baadhi ya Viongozi wa ACT Wazalendo wahamia CCM

You Might Also Like

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA

Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad

Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea

Rais wa Urusi Vladimir Putin akutana na kamanda mkuu wa zamani wa Wagner Group

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo March 2, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article FULL STORY: Safari ya Wastara India, aeleza alichopigwa Marufuku na Madaktari
Next Article PICHA: Mwigulu atembelea nyumba 13 Mpya za Askari baada ya za awali kuungua
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
Sports September 29, 2023
Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu
Top Stories September 29, 2023
Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA
Top Stories September 29, 2023
Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad
Entertainment September 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

September 29, 2023
Top Stories

Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA

September 29, 2023
Sports

Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea

September 29, 2023
Top Stories

Rais wa Urusi Vladimir Putin akutana na kamanda mkuu wa zamani wa Wagner Group

September 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?