Mauaji ya Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds ya Iran, Qasem Soleimani yameonyesha kuibuka upya kwa Uhasama wa Miongo kadhaa iliyopita baina ya Iran na Marekani, Swali la kujiuliza ni kwanini Mataifa haya mawili ni maadui wakubwa?, AyoTV na millardayo.com inakusogezea historia fupi ya uadui huu ulipoanzia.
Chanzo cha uadui mkubwa Iran na Marekani, vita iliyoua Mamilioni, ndege kudunguliwa (+video)
Leave a comment
Leave a comment