Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Agustino Lyatonga Mrema amelalamika kufanyiwa hujuma katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa kijiji cha Kiraracha wilaya ya Moshi uliofanyika Jana.
“Uchafu nilioona leo, hata Siasa nitaacha, Kijiji kimoja kinawatoa roho” (+video)
Leave a comment
Leave a comment