Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mhe Balozi wa Tanzania nchini India awaaga Maafisa wanafunzi kutoka NDC Tanzania
Share
Notification Show More
Latest News
The Snipers Mabingwa wa Pool Table Mashindano ya robo mwaka
December 10, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 10, 2023
December 10, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 10, 2023
December 10, 2023
Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada
December 10, 2023
RC Chalamila apongeza Polisi na Barrick kwa kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili
December 10, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mhe Balozi wa Tanzania nchini India awaaga Maafisa wanafunzi kutoka NDC Tanzania
Top Stories

Mhe Balozi wa Tanzania nchini India awaaga Maafisa wanafunzi kutoka NDC Tanzania

June 4, 2023
Share
1 Min Read
.
SHARE

Tarehe 3 Juni 2023 Balozi wa Tanzania nchini India Mhe Anisa Kapufi Mbega ameshiriki hafla fupi ya kuwaaga Maafisa wanafunzi waliokuwa kwenye ziara ya mafunzo nchini India katika maeneo mbali mbali ya kimkakati iliyokamilika leo.

Balozi Anisa aliwaaga Maafisa hao katika hafla fupi iliyofanyika katika hotel ya Jaypee Vasant Continental iliyopo New Delhi.

Akizungumza kwa niaba ya Maafisa hao Brig. Gen. Muhoro amemshukuru Mhe. Balozi kwa mapokezi mazuri pamoja na ushirikiano mkubwa walioupata ambao umerahisisha na kuifanya ziara hiyo kuwa ya mafanikio makubwa.

Maafisa hao wanatarajia kuondoka tarehe 4 Juni kuendelea na ziara yao katika nchi nyingine kwa mafunzo zaidi.

.
.
.
.
.
.
.
.
.

 

 

You Might Also Like

Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

Edwin TZA June 4, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Next Article Rais Samia awapongeza Yanga SC, ‘awakaribisha dinner Ikulu DSM’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

The Snipers Mabingwa wa Pool Table Mashindano ya robo mwaka
Sports December 10, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 10, 2023
Magazeti December 10, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 10, 2023
Magazeti December 10, 2023
Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada
Top Stories December 10, 2023

You Might also Like

Top Stories

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

December 9, 2023
Top Stories

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

December 8, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?