Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Mapambano dhidi ya corona, Wizara ya afya yapokea tena msaada
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > VIDEO: Mapambano dhidi ya corona, Wizara ya afya yapokea tena msaada
AyoTV

VIDEO: Mapambano dhidi ya corona, Wizara ya afya yapokea tena msaada

April 21, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Tanzania ikiwa bado kwenye vita dhidi ya virusi vya corona ambavyo vimepelekea shughuli mbalimbali duniani kusimama, makampuni mbalimbali yameendelea kuiunga mkono serikali katika mapambano hayo.

Kampuni ya vilainishi vya mitambo na magari ya Liqui Moly kupitia kwa Mkurugenzi wake Faraja Mkinga vimetoa msaada wa kuzifanyia service gari zote 34 zilizochini ya Wizara ya afya ambazo zinatumika katika mapambano dhidi ya corona.

Liqui Moly wametoa vilainishi vyenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 6 na kuvikabidhi kwa Mkurugenzi wa Kinga Wizara ya Afya Dr Leonard Subi kwa niaba ya wizara.

VIDEO: EXCLUSIVE: NI KWELI GSM WANATAKA KUINUNUA YANGA SC? WATOA MAJIBU

You Might Also Like

Waagizaji, Wazalishaji chuma watakiwa kuzingatia Viwango TBS

“Msiangalie mtu usoni kutoa Shahada ya Uzamili, Uzamivu” Mkenda

Mwalimu akutwa amefariki chumbani kwake

Miradi 630 ya Dola Bilioni 3.68 imesajiliwa

Huduma ya kujipima UKIMWI mahala pa kazi

TAGGED: Ayo TV, AyoTV, TZA HABARI
Rama Mwelondo TZA April 21, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Msanii wa Harmonize kasimulia msoto aliopitia “Nimeishia la saba”
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo April 21, 2020
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?