Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumapili Novemba 6, 2022 amewasili Mkoani Kagera kushuhudia zoezi la uokoaji linaloendelea kufuatia Ndege ya Precision Air kupata ajali ilipokuwa ikikaribia kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba.
Video: Tazama Ndege iliyoanguka Ziwa Victoria iivyotolewa Ziwani, Majaliwa afika hospitali
Leave a comment
Leave a comment