Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO:Tukio lote la Rais Macron kupigwa kofi mbele ya Walinzi
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > VIDEO:Tukio lote la Rais Macron kupigwa kofi mbele ya Walinzi
Top Stories

VIDEO:Tukio lote la Rais Macron kupigwa kofi mbele ya Walinzi

June 9, 2021
Share
1 Min Read
SHARE
Mhariri Mchambuzi wa siasa za Ufaransa Marc Perelman ameiambia France 24 TV ya Ufaransa kuwa tukio lililosababisha Rais Macron apigwe kofi na Mwananchi leo halikuwepo kwenye ratiba ya Rais, aliamua tu kushuka na kusalimia Wananchi waliokuwa wakimpungia.
Marc pia amesema wakati tukio limetokea Rais Macron alikua amechelewa kufika kwenye eneo la tukio alikotakiwa kuwepo lakini akaamua kusimama ghafla na kusalimia Wananchi hawa. Vyombo vya usalama vya Ufaransa vimesema tayari Wanaume wawili wamekamatwa kutokana na tukio hili, mmoja akiaminika kuwa aliyempiga kibao Rais Macron lakini Mwanaume wa pili aliyekamatwa hajajulikana ni nani hasa, tutaendelea kufatilia.

BIRTHDAY YA JOSEPH KUSAGA ATINGA CLOUDS NA FAMILIA YAKE, AOMBA WIMBO WA MBOSSO “NAUPENDA SANA”

You Might Also Like

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

TAGGED: AyoTV Magazeti
Edwin TZA June 9, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Rapa wa Bongo aliekula shavu la usimamizi wa kazi zake nchini Marekani
Next Article Mkali Pharrell Williams kuanzisha shule binafsi nchini Marekani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?