Wagombea ubunge katika jimbo la Arusha mjini Godbless Lema (CHADEMA) pamoja na Mrisho Gambo (CCM), wamekutana katika ofisi za msimamizi wa uchaguzi jimbo la Arusha mjini ambapo wameonekana wakiwa na furaha nakuoyeshana ‘mbwembwe’ huku wakipiga picha ya pamoja
Wafuasi CHADEMA na CCM watambiana mbele ya Gambo na Lema Arusha
Leave a comment
Leave a comment