Waliokuwa Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Makubaliano yaliyosainiwa August 22 2019 kati ya jJeshi la Zimamoto na Uokoaji na Kampuni ya Rom solution co.ltd wanaodaiwa kupewa laptops na posho za vikao na safari kwa kila kikao USD 800 na kampuni hiyo wameitwa leo TAKUKURU Jijini Dodoma katika mahojiano wakiwa na laptops walizopewa na kampuni hiyo.
Waliotajwa na Magufuli kupewa laptop na Dola 800 mkataba uliomng’oa Lugola waitwa TAKUKURU
Leave a comment
Leave a comment