Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: CHADEMA yapaza sauti Meja Jen Mstaafu Mritaba kupigwa risasi
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > CHADEMA yapaza sauti Meja Jen Mstaafu Mritaba kupigwa risasi
Top Stories

CHADEMA yapaza sauti Meja Jen Mstaafu Mritaba kupigwa risasi

September 13, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Mapema jana September 12, 2017 ziliripotiwa taarifa za kuvamiwa na kushambuliwa kwa risasi kwa Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba na watu wasiojulikana wakati akiingia getini nyumbani kwake tukio ambalo limeamsha hisia za watu wengi na kupaza sauti zao kukemea huku wakilitaka Jeshi la Polisi kuchukua hatua zaidi.

Kufuatia tukio hilo Chama cha Demokrasia na Maendeleo ‘CHADEMA’ limetoa tamko kulaani kitendo hicho ambacho kinafanana na alichofanyiwa Mbunge wake Tundu Lissu ambaye yupo Nairobi Kenya akitibiwa.

Rais Magufuli alipomjulia hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba katika Hospitali ya JWTZ Lugalo jana baada ya kupigwa risasi September 11, 2017

Katika taarifa yao CHADEMA imesema:

Tumepokea Taarifa za kuvamiwa kwa Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba na kupigwa risasi, kwa mshituko mkubwa na hasa kutokana na ukweli kuwa tukio hili limetokea Katika kipindi hiki ambacho sisi CHADEMA na watanzania wote tukiwa kwenye Taharuki na huzuni kubwa iliyosababishwa na jaribio la kutaka kumuua Mhe. Tundu Lissu Akiwa Dodoma wiki iliyopita.

Tunalaani kwa nguvu zote uhalifu huo na tunaungana na Familia ya Meja Jenerali Mritaba na watanzania wote kumuombea aweze kupona na kurejea Katika majukumu yake ya kujenga taifa.

Aidha tunavitaka vyombo vya dola kuchunguza na Kuwatia hatiani wale wote waliohusika na uvamizi huo ili kuhakikisha kuwa usalama wa raia na Mali zao hauko shakani.

Imetolewa leo Jumatano Septemba 13, 2017 na;

John Mrema -Mkurugenzi wa Uenezi, Mawasiliano na Mambo ya Nje.

Zitto Kabwe kuhusu kushambuliwa kwa risasi Tundu Lissu

You Might Also Like

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao

Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili

Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”

TAGGED: CHADEMA, TZA HABARI
Millard Ayo September 13, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Country Boy LIVE!!! “Turn up” #FIESTA2017
Next Article Ngome ya Vijana ACT Wazalendo baada ya Zitto kuitwa akahojiwe Bungeni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?