Muda huu kwenye AyoTV kinachoendelea ni uzinduzi wa utafiti wa kitaifa unaotoa uelewa mpana kuhusu hali ya huduma za kifedha nchini Tanzania na kubainisha mahitaji na tabia za watumiaji wa huduma hizo. Unaweza kufuatilia LIVE kwa kubonyeza play hapa chini
LIVE: Uzinduzi wa matokeo ya utafiti kuhusu hali ya huduma za kifedha TZ
Leave a comment
Leave a comment