Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Athuman Kihamia amezungumza LIVE na Television ya Taifa nakutoa majibu juu ya tuhuma kuataliwa kwa fomu za Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Jimbo la Korogwe.
Mkurugenzi NEC ajibu tuhuma za CHADEMA Ubunge Korogwe
Leave a comment
Leave a comment