Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila akipokea ndege mpya aina ya Airbus-220-300 iliyopewa jina la Dodoma amesema muda si mrefu kiama kinakuja kwa waliotafuna fedha za uboreshwaji wa Uwanja wa ndege wa Songwe.
RC Mbeya “kiama waliotafuna fedha za Airport chaja, JPM kagoma kutoa Bilioni 18” (+video)
Leave a comment
Leave a comment