Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: #Exclusive Ni kweli Ali Choki na Nyamwela wamerudi Twanga Pepeta! maneno ya Asha Baraka je umeyapata?
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > #Exclusive Ni kweli Ali Choki na Nyamwela wamerudi Twanga Pepeta! maneno ya Asha Baraka je umeyapata?
Habari za MastaaStori Kubwa

#Exclusive Ni kweli Ali Choki na Nyamwela wamerudi Twanga Pepeta! maneno ya Asha Baraka je umeyapata?

April 9, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

drums 2Mpaka April hii ya 2015 kwenye muziki wa dance Tanzania hii haikosi kuwa kwenye stori 2 za juu nina uhakika, tunajua Ali Choki ndio alikua anaimiliki band ya Extra Bongo na baadae aliwachukua watu kama Banza Stone na Super Nyamwela lakini April 8 2015 headlines zimegeuka.

Mkurugenzi Asha Baraka ameongea kwenye Exclusive interview na Millard Ayo baada ya Ali Choki na dancer Super Nyamwela kutangazwa kurudi Twanga Pepeta >>> ‘Kwanza tulikua na kutokuelewana nafikiri ni kibiashara kati yangu mimi na Ali Choki lakini baadae watu wazima wakakaa wakaona ili kukuza tasnia wakatuweka chini Global Publishers na wakatuweka sawa‘

Choki Super
Ali Choki, Luiza na Super Nyamwela mbele ya vipaza sauti kutangaza haya maamuzi mapya, picha ilipigwa na sufianimafoto.com

‘Kilichotokea baada ya hapo Ali Choki alikwenda Japan kwenye safari zake na akiwa huko akasikia huku nyumbani Wanamuziki wake wametawanyika naona akaona ni vigumu tena kuanzisha Band na kujipanga upya kwa hiyo akaamua kurudi kwenye Band yake ya Twanga Pepeta iliyomkuza na kumfanya kuwa Choki’ – Asha Baraka.

Unataka kuyasikia mengine aliyoyasema Asha Baraka? bonyeza play hapa chini…

millardayo.com ndio sehemu yako kuzipata story zote mtu wangu, unaweza kuwa karibu zaidi na mimi kwa kujiunga kwenye Facebook, Twitter na Instagram pia zitakufikia zote mtu wangu, jiunge hapa >>>twitter Insta Facebook

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

Millard Ayo April 9, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article APRIL 9 2015 kilichoandikwa MAGAZETINI nimekukutanisha nacho hapa.. Michezo, udaku, hard news..
Next Article Eti unahitaji talaka? Facebook tu ilitosha kumaliza kila kitu..
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?