Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Labda umekua ukisikia Lissu anatibiwa Nairobi ila hujajua gharama zake hadi sasa
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Labda umekua ukisikia Lissu anatibiwa Nairobi ila hujajua gharama zake hadi sasa
Top Stories

Labda umekua ukisikia Lissu anatibiwa Nairobi ila hujajua gharama zake hadi sasa

September 10, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Kutoka Nairobi, Kenya Jumapili ya September 10, 2017 Mbunge Singida Mashariki Tundu Lissu anaendelea kupatiwa matibabu baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Nairobi kufuatia kuumizwa kwa risasi na watu wasiojulikana waliomvaniwa akiwa nyumbani kwake Dodoma September 7, 2017.

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe jioni hii ametoa taarifa kuwa Mbunge huyo ameingizwa chumba cha upasuaji kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji mwingine akisema kuwa anahitaji matibabu maalum yanayohitaki wataalam wengi, vifaa tiba maalum na gharama kubwa ambapo hadi sasa, zaidi ya Tsh. Millioni 100 zimeshatumika kuokoa maisha yake.

Mbowe amebainisha kuwa thamani ya Lissu ni kubwa kuliko kiwango chochote cha fedha hivyo watatumia kila njia iliyo halali ili kupata fedha za kutosha kumtibu ili kumrudisha kwenye uwanja wa kudai haki, demokrasia na ustawi kwa woteTanzania.

Amewashukuru Watanzania na Wabunge wote wa CHADEMA kwa namna walivyobeba gharama za awali pamoja na Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujitoa kwao kuchangia matibabu ya Tundu Lissu.

Aidha, wageni mbalimbali mashuhuri kutoka Tanzania, Afrika Mashariki na Jumuiya za Kimataifa zimekuwa zikifanya juhudi kubwa kumtembelea Lissu huku akisema ulinzi umeimarishwa katika eneo anakotibiwa na hairuhusiwi wageni kumwona hadi madaktari wakiridhika kuwa hali yake ya kimatibabu inaruhusu.

Kwa upande mwingine, Dereva Tundu Lissu, Simon Mohamed Bakari naye yupo Nairobi akipatiwa huduma za kisaikolojia kutokana na kushuhudia shambulio hivyo kusumbuliwa na msongo mkubwa wa mawazo.

IGP SIRRO KAPEWA MBINU MPYA KUKABILIANA NA WANASIASA

BREAKING: Watu 30 na Magari wakamatwa Dodoma, Dereva wa Lissu aitwa

You Might Also Like

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’

Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu

Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’

Rais Samia atoa Bilioni 15 jimboni kwa Shigongo

TAGGED: CHADEMA, Freeman Mbowe, TZA HABARI
Millard Ayo September 10, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article UPDATES: Mbowe kaeleza kwa nini Tundu Lissu kapelekwa Nairobi kutibiwa
Next Article Ujio wa Everton Tanzania umewafanya SportPesa watajwe katika tuzo Uingereza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?