Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VideoFUPI: Shilingi milioni 335 zimesahaulika uwanja wa ndege Nigeria
Share
Notification Show More
Latest News
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
September 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > VideoFUPI: Shilingi milioni 335 zimesahaulika uwanja wa ndege Nigeria
Mix

VideoFUPI: Shilingi milioni 335 zimesahaulika uwanja wa ndege Nigeria

March 15, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Kutokea nchini Nigeria nimeipata hii ya taarifa ya Maafisa wa Serikali nchini humo jana wamefanikiwa kugundua magunia matano yaliyokuwa yamehifadhi burungutu za fedha kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kaduna.

Pesa hizo kiasi cha Naira milioni 49 ambazo ni zaidi ya shilingi za Tanzania milioni 335 zimepatikana kwenye eneo la kuhudumia wasafiri wanaoingia uwanjani hapo, ziligunduliwa wakati wa ukaguzi wa kawaida wa mizigo uwanja wa ndege.

Msemaji wa Tume ya Uhalifu wa Kifedha nchini humo, Wilson Uwujaren amesema magunia hayo yalikuwa na burungutu 200 za noti mpya, ambazo zilikuwa bado hazijafunguliwa kutoka kiwandani, amesema uchunguzi unaendelea kubaini nani mwenye magunia hayo.

Maafisa wa Serikali ya Nigeria wamegundua magunia matano ya fedha zaidi ya Tsh milioni 330, yalitelekezwa kwenye uwanja wa ndege wa Kaduna pic.twitter.com/v96fBEbP13

— millardayo (@millardayo) March 15, 2017

VIDEO: ‘Mimi sio Mwanasiasa ninayetafuta sifa za kijinga’ – Paul Makonda, Tazama hapa chini

You Might Also Like

TPA watoa Elimu kuhusu huduma zao

Mkutano wa IAWP New Zealand wafungwa, CP Kaganda awakaribisha Wajumbe Tanzania

EWURA kutokomeza mafuta ya makopo vijijini

Mradi wa Umeme wa Upepo wa Zanzibar wapamba moto

Joe Biden atuma salamu za pole kwa Mfalme wa Morocco

TAGGED: habari za dunia
Admin March 15, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article AyoTV MAGAZETI: Undani kutimuliwa Sophia Simba, Madabida, Wapinzani na kauli za Magufuli
Next Article VIDEO: ‘Sidhani kama ni wakati wa kukataa ukweli haihitaji hata kwenda chama kingine’-TID
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
Top Stories September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
Top Stories September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
Magazeti September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
Magazeti September 30, 2023

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023

September 30, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 29, 2023

September 29, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 28, 2023

September 28, 2023
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 28, 2023

September 28, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?