Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: #TrendingWorldwide: Jina jipya katika list ya Rappers matajiri duniani, mtoto kapata mkwanja kutoka facebook, kisa?
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > #TrendingWorldwide: Jina jipya katika list ya Rappers matajiri duniani, mtoto kapata mkwanja kutoka facebook, kisa?
Habari za Mastaa

#TrendingWorldwide: Jina jipya katika list ya Rappers matajiri duniani, mtoto kapata mkwanja kutoka facebook, kisa?

May 5, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Kama hukupata nafasi ya kuisikiliza Amplifaya ya Clouds FM May 4 2016 kutokana na kukosa time mtu wangu wa nguvu naomba nikuletee stori mbili zilizoingia kwenye headlines za Trending World Wide kwa siku ya leo May 4 2016.

1.Rapper Drake ametangazwa na Forbes kuingia katika list ya rappers matajiri duniani akiwa katika nafasi ya tano ya Rappers wenye utajiri mkubwa zaidi duniani. Forbes ilimtangaza Drake kuwa na utajiri wa dolla milioni 60 ambazo ni zaidi ya bilioni 130 za kitanzania.drrake

Utajiri wa Drake umechangiwa na ziara zake za muziki, nyimbo anazotoa ambazo zinamuingizia mkwanja  kupitia mauzo ya mitandao, dili za Sprite na Nike pamoja na Albamu yake mpya ya ‘VIEWS’ ambayo iliuza zaidi ya kopi 630,000 siku alipotoa na kumuingizia  bilioni1.9 za kibongo.

2.Uongozi wa Facebook ambao pia unamiliki appilication ya Instagram, umemzawadia mtoto wa miaka 10 kutoka Finland  dola elfu 10 ambazo ni zaidi ya milioni 20 za kibongo, baada ya kugundua udhaifu katika application ya Instagram ambapo angeweza kufuta comments za watu wengine hata kama sio katika ukurasa wake.

Unaweza kusikiliza Audio hapa chini

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

ULIIKOSA HII YA RAMMY GALIS ALIPO WASILI NCHINI KUTOKEA NIGERIA ALIPOKWENDA KUSHOOT MOVIE? ANGALIA VIDEO HII HAPA….

You Might Also Like

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Audiomack yazindua kampeni ya ‘Ngoma juu ya ngoma’ kukuza muziki wa kitanzania

Exclusive: Con boi kafunguka hana mawasiliano na Lunya,Quick Rocka, akumbuka kifo cha mpenzi wake

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

TAGGED: trendingworldwide
Edwin TZA May 5, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Real Madrid wamefanikiwa kutunza rekodi yao kwa vilabu vya Uingereza, kwa kuifunga Man City
Next Article Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 5 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?