Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bei mpya ya Nauli za Mabasi na Daladala yatangazwa
Share
Notification Show More
Latest News
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Bei mpya ya Nauli za Mabasi na Daladala yatangazwa
Top Stories

Bei mpya ya Nauli za Mabasi na Daladala yatangazwa

April 30, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Mamlaka ya udhibiti wa usafiri nchi kavu LATRA wametangaza bei mpya za nauli za Mabasi na Daladala nchini ambazo zitaanza kutumika baada ya siku 14 kuanzia leo kutangazwa.

Akizungumza na Waandishi wa Habari Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Gilliard Ngewe amesema nauli za daladala kuanzia km 0-10 nauli itakua shilingi 500 kutoka shilingi 400na km 11-15 nauli itakua shilingi 550 kutoka Shilingi 450 na bei ya mwisho ya daladala kwa km 36 hadi 40 itakua shilingi 1100 kwa daladala tu.

Huku nauli za mabasi yaendayo mikoani zikipanda kwa daraja la kawaida ni shilingi 41.29 kwa kilometer moja kutoka shilingi 36.89 huku daraja la kati ikipanda kwa shilingi 56.88 kutoka shilingi 53.22

Huku nauli kwa wanafunzi ikibakia kua shilingi 200 kwa daladala.

MBUNGE MUSUKUMA AMTAKA WAZIRI AMSIKILIZE “NAONA KAMA TUMEWAINGIZA CHAKA,TUWEKEE MSIMAMO”

 

 

You Might Also Like

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

Edwin TZA April 30, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mabibi na mabwana Alikiba ametuletea mdundo mpya uitwao Mama
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 1, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?