Waziri Prof. Paramagamba Kabudi leo akizungumzia dawa ya Corona kutoka Madagascar amesema “Kile sio kikombe cha Babu, hatukwenda kuchukua kikombe cha Babu ile ni dawa ya kisayansi, ndio maana tumeenda na Wataalamu, mimi peke yangu kwakuwa ni Waziri nimepata bahati ya kugonga ile dawa, ila zile chupa tumekuja nazo 2 tu za kusaidia utafiti, hatuna dawa kugawa”.
Bila kupepesa macho “hiki sio kikombe cha Babu, njooni Wizarani mpewe” (+video)
Leave a comment
Leave a comment