Waziri Prof. Paramagamba Kabudi leo akizungumzia dawa ya Corona kutoka Madagascar amesema “Niwaeleze watanzani hatujaja na dawa kwa ajili ya kuwagawa watanzania, dawa hizi ni kwa ajili ya utafiti na uchambuzi, utafiti ukikamilika na tukiridhika tutazigawa kwa watanzania,”.
LIVE: MAAJABU YA DAWA YA CORONA YA MADAGASCA YATUA, MTAALAM AELEZA “HII SIO KIKOMBE CHA BABU”
MUDA MFUPI KABLA HAJAFA ASKARI ALISEMA “MUNGU NIJAALIE MWISHO MWEMA, NISIWE KATI YA WABAYA”
https://youtu.be/-2H8mHARk9s